/*

Friday, 23 September 2016

Njia Unazoweza kutumia kupata Mtaji wa Biashara.


Leo Tutazungumzia Njia unazoweza Kuzitumia katika kupata Mtaji Wa Kuanzisha biashara.Mtaji umekuwa ni Kisingizio kikubwa kinachowazuia watu kufanya Biashara.Nakiita kisingizio kwani sio kweli na Haiwezekani mtaji kuwa kikwazo cha biashara kwa Mtu aliyekusudia hasa kufanya biashara.
Kabla ya kutaja njia unazoweza kuzitumia ili kupata mtaji wa Biashara kwanza nataka ufahamu kuwa,Mtaji Mkubwa kabisa unaohitajika katika kuanzisha Biashara si fedha Bali ni

Monday, 12 September 2016

Karibu katika mtandao huu

          Happiness Ads Network ni Mtandao unaohusu Matangazo na Unajishughulishaa na Utoaji wa Elimu ya kina kuhusu MATANGAZO,UJASIRIAMALI NA WATEJA.Ukiwa Happiness Ads Network utaweza Kujifunza Mambo muhimu yanayohitajika katika Ukuaji wa Biashara Yako.


Utaweza kujifunza mbinu mbalimbali za kuongeza Wateja katika Biashara yako,Jinsi ya kuwafanya Wateja Waliopo Wasikimbie,binu za Kuzalisha na Utafutaji Masoko.


Kupitia Happiness Ads Network Utawez pia Kupata Majibu ya Maswali mbalimbali yanayohusuBiashara kama vile Kwa nini Biashara yangu haikuwi?
 Ni mbinu gani nitumie ili niongeze Wateja katika Biashara yangu?


Nawezaje kutajirika kwa Mtaji wa TZS 50,000/= (Elfu Hamsini)? Na Mengine Mengi.